WAP Groups
Download Free Apps & Games @ PHONEKY.com

E-AFRICANS2 - Topics
Create Your Own App Store

* E-AFRICANS2 > Topics


Subject: Chongoa nichongoe...shout haa!
Replies: 646 Views: 41468
1-> 7->>

alekii 31.01.09 - 04:10am
If u lyk mchongoano.just chongoa me! *

alekii 31.01.09 - 04:13am
Ati wewe ni mwerevu mpaka unaweza andika 1 2 3.__10 in capital letters! Funny? *

dmulandi 31.01.09 - 06:05am
Ah!mpuzi!mwenyewe kaganda kama sima ya jana.una makunyanzi utafikiri paka mwizi.ah!miguu kama spoki! *

alekii 31.01.09 - 06:23am
Ati gari yenu ni mzee mpaka ikipanda mlima inatoa veins! Ha ha ha! *

dmulandi 31.01.09 - 07:25am
Ewe,walishwa wali na nyama nusu ratili na ungali tajiri wa mifupa na maskini wa .....una shingo kama bomba la ma.i! *

switpop 31.01.09 - 10:13am
What is changaono it sounds like chinesse? *

alekii 1.02.09 - 03:43am
Switpop mchongoano is anythng that someone is told n its funny. *

melix 1.02.09 - 06:03am
Kichwa ndogo kama biscuit za Togo *

alekii 1.02.09 - 06:30am
Ati una kichwa ndogo mpaka ukifikiria sana ina pata cracks! *

jeanjoyc 3.02.09 - 01:54am
Ur cracking ma ribs guys i cnt stop laughing *

alekii 3.02.09 - 03:30am
Joyc hi ni kionjo 2...ati wewe una kichwa kubwa mpaka ndoto zako zinakuanga Five in one kama movie.ha ha ha ha! *

njagua17 3.02.09 - 01:41pm
phone yako ni mzee hadi fonbook yake imeraruka *

njagua17 3.02.09 - 01:46pm
first tym yako kucheki sausage kwa hoteli ulianzakusema-ona kitu kama yangu (pointin ua....) *

alekii 5.02.09 - 02:41am
Ati first time yako kupewa chewing gum uliuliza kama iko na mbegu ndani! *

birdboi 8.02.09 - 06:40am
ati ulienda kwa duka ku buy ball gum uka pewa ya green,uli rudisha uka sema nipe enye imeiva...:D *

birdboi 8.02.09 - 06:44am
ati first time yako kupewa coca cola ulidhani ni maji imeungua *

kaptrina 8.02.09 - 11:16am
Ati kwenu mmesota hadi nyinyi hukimbiza garbage truck ya kanjo mkiwa na shoppin list *

kaptrina 8.02.09 - 11:20am
If ugly ws a stone,u'd b d gr8 wall of china *

alekii 8.02.09 - 06:43pm
Ati kaptrina hufanya kazi kwa kampuni ya kusiaga unga ya ugali mpaka akioga na maji moto kunanuka ugali.. *

alekii 8.02.09 - 06:47pm
Birdboi Ati uko na marassa biggy mpaka ukipiga kona zinaingia kwa mfuko! *

alekii 10.02.09 - 02:57am
Jeanjoy if ur ribs r cracking.then chukua suppa glue ushikanishe.waaah! I can c all of u have bad hand writtings..pliz improve ur hand writting@all *

alekii 10.02.09 - 03:15am
Birdboi ati una kichwa kubwa mpaka ina cause eclipes.ha ha ha! *

alekii 14.02.09 - 05:08am
Am the winna? Huh! I thnk so! *

ediie.1 20.02.09 - 10:27pm
Hao yenyu ni ya round, na mnapiganiaga kulala kwa corne. *

ediie.1 20.02.09 - 10:38pm
Choo yenyu ni deep mpaka ukienda kubiech jioni, inalia uuuzii....,ukiamka morning unasikia .....duuu. *

alekii 21.02.09 - 02:49am
Ati kwenyu nyinyi ni wengi mpaka last born anaitwa tosha! *

mogahmoa 22.02.09 - 04:44pm
Aleki seems ur da hot 1 check dis out ati wee nidanda mpaka tyme ya 1st kuingia kwa mathree ulibisha hodi na kutoa mandula *

mogahmoa 22.02.09 - 04:48pm
Aleki kwenda wewe una mapengo most mpaka toungue inakaa nikama iko jela *

alekii 22.02.09 - 06:21pm
Mogahmoa we ni fala mpaka first tym yako kubai zile chewing gum za PK (orbit) ulimeza na maji kama dawa! *

njagua17 22.02.09 - 09:40pm
alekii we ni m fatty hadi ukipimwa kilo zako scale inasema- 1 person @ a tym *

njagua17 22.02.09 - 09:43pm
alekii 1st tym yako kuuziwa ballgum ya green ulisema - hii haijaiva nipatie hiyo ya red *

njagua17 22.02.09 - 09:45pm
una shingo refu hadi ukimeza dawa ikifika kwa tumbo isha expire *

njagua17 22.02.09 - 09:47pm
alekii we ni mfupi hadi huendesha bob kaa mparaa *

njagua17 22.02.09 - 09:48pm
una kichwa kubwa ukingeuka fasta unacheki usogo *

njagua17 22.02.09 - 09:50pm
umekonda hadi hauna shadow *

njagua17 22.02.09 - 09:52pm
una 70kgs na 65 ni uchafu *

njagua17 22.02.09 - 09:54pm
alekii nasiki mko wengi kwenyu mkitaka kumanga mnaitwa na register *

njagua17 22.02.09 - 09:56pm
we ni mkonda hadi uhata rain drops *

jeanjoyc 23.02.09 - 05:00am
I cnt stop laughng u guys r so d*mn funi *

alekii 24.02.09 - 02:39am
Ha ha ha! Joyc ma ribs r also cracking.njagua iz craaazzy alot! Anywy njagua ati underwear yako ni mzee iko na mashimo 99 imebakisha kutoboka moja ianguke! *

mogahmoa 24.02.09 - 08:26pm
Kwenda aleki una jidai na hako ka paka kenyu kenye kakimula kanapanguza makamasi *

mogahmoa 24.02.09 - 08:34pm
Aleki it aint personal bt naskia home mna ugonjwa ya ngozi hadi msee akiinva mkono ama cheka *

alekii 25.02.09 - 02:14am
Mogahmoa kwenyu nikuchafu mpaka inzi zikitaka kuingia zinaingia kama zimevalia gamboots! *

alekii 25.02.09 - 02:17am
Mogah asubui asubui kwenyu ni mkate na miwa! *

birdboi 27.02.09 - 04:17pm
Alekii ati we ni m...black mpaka shetani akikucheki ana sema Jesus! *

birdboi 27.02.09 - 04:23pm
alekii ati wall za nyumba yenu ni thin...neighbours wakikata kata kitungu munalia *

birdboi 27.02.09 - 04:26pm
mogah ati we ni m...nono ukiingia class unakaa next 2 every 1 *

birdboi 27.02.09 - 04:29pm
Alekii ati budako ni mjinga ana cover newspaper kama kitabu *

alekii 27.02.09 - 04:33pm
Birdboi nyumba yenu ni ya nyasi mpaka mwizi akikuja anasema fungueni ama nilete ng'ombe. *

birdboi 27.02.09 - 04:33pm
alekii ati we ni mrefu ukiva toja inafika waist kama imeisha fasho *

alekii 27.02.09 - 04:38pm
Birdboi manzi yako ni mrefu mpaka ukitaka ku m-hug una m-hug kwa magoti. *

1-> 7->>


* Reply
* E-AFRICANS2 Forum


Search:
topics replies


* E-AFRICANS2

Create Your Own App Store

topTop
groupsGroups
mainProdigits

Custom Search


Create Your Own App Store